Ruka hadi kwenye maudhui makuu

WAJUE WATU MAARUFU KATIKA ULIMWENGU WA FILAMU..Leo ni TARAJI P HENSON

Taraji Penda Henson,amezaliwa september 11,1970.uko washington,DC,US
Taraji ni muigiza na mwimbaji,kwa upende wa elimu ana bachelor of fine arts..Alipata ujauzito akiwa katika chuo na kujifungua mtoto wa kiume,anayeitwa Marcell Johnson..baba wa mtoto huyo,alikuwa ni mwanafunzi mwenzeka aliye fahamika kwa jina la William Lamar Johnson,ila aliuwawa mnamo mwaka 2003
Taraji p.Henson amewahi kushinda tunzo kubwa ya Golden globe Awards kutokana na Television series drama ya Empire
Hiyo tunzo imemfanya kuwa black american/Africa American wa tatu kupata tunzo hio,baada ya Garlfisher aliyepata hio tunzo mwaka 1972 na Regina Taylor mwaka 1992.. Filamu/movies ambazo ameigiza Taraji P.Henson ni;- *The adventure of Rock and Bullwinkle;(2000)... *Satan's school for Girls;(2000)... *Baby boy;(2001)... *Book of Love;The Definitive Reason Why Men are Dogs;(2002)... *Hair show;(2004)... *Hustle & Flow;(2005)... *Four Brothers;(2005)... *Animal;(2005)... *Something New;(2006)... *Smokin' Aces;(2007)... *Talk to me;(2007)... *The Family that preys;(2008)... *The curious case of Benjamin Button;(2008)... *Not Easily Broken;(2009)... *Hurricane season;(2009)... *I can Do Bad All By Myself;(2009)... *Date Night;(2010)... *The Karate Kid;(2010)... *Peep world;(2010)... *Once Fallen;(2010)... *The Good Doctor;(2011).. *Taken from me;The Tiffany Rubin story;(2011)... *Larry crowne;(2011)... *Laugh at My pain;(2011)... *From the Rough;(2011).... *Think Like a Man;(2012)... *Madly Madagascar;(2013)... *No good Deed;(2014)... *Top five;(2014)... Na television series Empire,ambayo amecheza kama Cookie Lyon.
Tunzo alizowahi kupata Taraji P.Henson ni;- Best Actress-BET awards;(2005)-film ya Hustle & Flow.... Best supporting actress-Black Movie Awards;(2005)-Hustle & Flow.... Best supporting Actress-Austin Film Critics Association;(2008)-film ya The curious case of Benjamin Button.... Best Actress-Outstanding supporting actress in a Motion Picture-NAACP Image Awards;(2008)...Best Actress-BET Awards;(2011)-kwa film ya Taken from Me.... Outstanding Actress in a Television Movie,Miniseries or Dramatic special-NAACP Image Awards;(2011).... Best Actress;Tv Movie/Cable-Black Reel Awards;(2011).... Entartainer of the year-NAACP Image Awards;(2015)-kwa film ya No good Deed.... Outstanding Actress in a Motion picture-NAACP Image awards;(2015)
Na pia kupitia series ya Empire amepata tunzo hizi;- Best Actress-BET Awards;(2015)... Best Actress in a Drama series-Critics Choice Television Awards;(2015).... Best Actress,Television series Drama-Golden Globe Awards;(2016)

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

WAJUE WATU MAARUFU KATIKA ULIMWENGU WA FILAMU..Leo ni zamu ya HRITHIK ROSHAN

Hrithik roshan,amezaliwa 10january,1974.uko Mumbai,Maharashtra,India. Hrithik roshan ni muigiza maarufu na mwenye mafanikio katika industry ya Bollywood,pia amewahi kupata tunzo 6 za Filmfare awards,Roshan ametajwa na media mbalimbali za India kuwa ndio muigizaji mwenye mvuto zaidi Baada ya kutoa filamu/movies nyingi ambazo hazikuvuma sana,Roshan aliamua kucheza movie ya science fiction,aliyoipa jina la Koi-Mil Gaya;-(2003) Na muendelezo wake,alitoa series iliyoipa jina la Krrish;-(2006) Nje ya kazi ya kuigiza,Roshan pia ni stage performer na playback singer,pia ameendorse bidhaa mbalimbali ,ikiwa ni pamoja na kuhost reality show inayoitwa Just dance, na pia amelaunch nguo zake/brand yake Hrithik roshan, amesoma shule ya Bombay scoottish,na baadaye kujiunga na chuo kilichoitwa Sydenham college,ambako alipata bachelor degree in commerce Roshan ana vidole sita,katika mkono wake wa kulia,ingawa mara nyingi kwenye movie nyingi zake huwa haonyeshi,ila vimeonekana katika movie ya Krris...

WAJUE WATU MAARUFU KATIKA ULIMWENGU WA FILAMU Leo ni... EMMA STONE.

  Emily Jean Stone, amezaliwa November 6,1988 Scottsdale, Arizona, U.S  Emma  Stone, ni mojawapo ya waigizaji wa kike waliolipwa hela nyingi 2015    Amewahi kuorodheshwa na Forbes celebrity 100, mwaka 2013 na mara nyingi na media mbalimbali kama Talented actress of her generation.  Filamu zenye mafanikio alizoigiza Emma Stone ni; _Super bad (2007)... _Zombieland (2009)... _Easy A (2010)... _Crazy stupid, Love (2011)... _The help (2011)... _The Amazing Spider-Man (2012) _The Amazing SpiderMan2(2014) _Birdman (2014)... _La La Land (2016)...   Tunzo za Emma stone, amewahi shinda tunzo mbalimbali, zikiwemo; Academy Award, BAFTA Award, Golden ...

WAJUE WATU MAARUFU KATIKA ULIMWENGU WA FILAMU...Leo ni SALMAN KHAN.

Abdul Rashid Salim Salman Khan,amezaliwa December 27,1965..uko Indore,Madhya pradesh,India. Salman Khan ni actor,film producer,Television, personality, model, philanthropist & singer Films au movies alizoigiza Salman Khan ni:- *Maine Pyar Kiya;(1989).... *Hum Aapke Hain Koun;(1994).... *Andaz Apna Apna;(1994).... *Karan Arjun;(1995).... *Khamoshi:The Musical;(1996).... *Hum Saath-Saath Hain;(1999).... *Hum Dil De chuke sanam;(1999).... *Chori Chori Chupke Chupke;(2001).... *Tere Naam;(2003).... *Wanted;(2009).... *Dabangg;(2010).... *Ready;(2011).... *Bodyguard; (2011) *Ek Tha Tiger;(2012).... *Dabangg 2;(2012).... *Kick;(2014).... *Bajrangi Bhaijaan;(2015).... *Prem Ratan Dhan Payo;(2015).. September 2015,magazeti mbalimbali ya uko India yalimtaja Salman Khan,kama muigiza mwenye mvuto zaidi Filamu tisa 9,kati ya filamu alizoigiza Salman Khan zimemuingizia kiasi cha USD 15 million, pia amekuwa muigizaji pekee India kuingiza kiasi cha USD 29million,kupitia filamu zake,kwa mchĂ n...