Shawn Corey Carter ndio jina halisi la JAY Z,amezaliwa December 4,1969.Brooklyn,New york,US
Jay Z,ni rapper,record producer & enterpreneur investor.ni mmjawapo wa wasanii wa hip hop waliona mafanikio makubwa kiuchumi
Mwaka 2014 Forbes ilikadria utajiri wa Jay z kuwa ni $520 million
..Jay Z ni mmoja wapo wa Best-selling artist wa mda wote,ameshauza zaidi ya million 100 records zake, pia kapewa tunzo 21 za grammy awards kwa kazi ya mziki anayoifanya
..Albums zake ni:-
*Reasonable Doubt;-(1996)
*In my lifetime,vol 1;-(1997)
*Vol 3 life and times of s.carter;-(1999)
*The Dynasty;Rec la Familia;-(2000)
*The Blueprint;-(2001)
*The Blueprint 2;The Gift & the curse;-(2002)
*The Black album;-(2003)
*Kingdom come;-(2006)
*American gangster;-(2007)
*The Blueprint 3;-(2009)
*Magna carta Holy Grail;-(2013)
Jay Z amemuoa mwimbaji wa R&B Beyonce mwaka 2008
Jay Z na Beyonce wana mtoto wa kike,anaitwa Blue Ivy Carter alizaliwa january7,2012
Jay Z amshiriki katika hit song Crazy in love ya beyonce,na katika nyimbo hii That's how you like it,iliyopo katika album Dangerously in Love ya beyonce
Tunzo alizopata Jay Z,ni hizi;-
*tunzo 3,za American music awards
*tunzo 2,za Billboard music awards
*tunzo 21,za grammy awards
★primogeniture★







Maoni
Chapisha Maoni