Ruka hadi kwenye maudhui makuu

WAJUE WATU MAARUFU DUNIANI KATIKA TASNIA YA MUZIKI..leo tunaye JAY Z

Shawn Corey Carter ndio jina halisi la JAY Z,amezaliwa December 4,1969.Brooklyn,New york,US
Jay Z,ni rapper,record producer & enterpreneur investor.ni mmjawapo wa wasanii wa hip hop waliona mafanikio makubwa kiuchumi
Mwaka 2014 Forbes ilikadria utajiri wa Jay z kuwa ni $520 million ..Jay Z ni mmoja wapo wa Best-selling artist wa mda wote,ameshauza zaidi ya million 100 records zake, pia kapewa tunzo 21 za grammy awards kwa kazi ya mziki anayoifanya ..Albums zake ni:- *Reasonable Doubt;-(1996) *In my lifetime,vol 1;-(1997) *Vol 3 life and times of s.carter;-(1999) *The Dynasty;Rec la Familia;-(2000) *The Blueprint;-(2001) *The Blueprint 2;The Gift & the curse;-(2002) *The Black album;-(2003) *Kingdom come;-(2006) *American gangster;-(2007) *The Blueprint 3;-(2009) *Magna carta Holy Grail;-(2013)
Jay Z amemuoa mwimbaji wa R&B Beyonce mwaka 2008
Jay Z na Beyonce wana mtoto wa kike,anaitwa Blue Ivy Carter alizaliwa january7,2012
Jay Z amshiriki katika hit song Crazy in love ya beyonce,na katika nyimbo hii That's how you like it,iliyopo katika album Dangerously in Love ya beyonce
Tunzo alizopata Jay Z,ni hizi;- *tunzo 3,za American music awards *tunzo 2,za Billboard music awards *tunzo 21,za grammy awards

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

WAJUE WATU MAARUFU KATIKA ULIMWENGU WA FILAMU..Leo ni JACKIE CHAN.

Chan kong-sang ndio jina halisi la Jackie Chan ,amezaliwa April 7,1954 uko Victoria Peak,British Hong Kong. Kazi za Jackie Chan ni Actor,martial artist,director,producer,screenwriter,action,Choreographer, singer,stunt director, & stunt performer. Jackie Chan anajulika sana kwa staili zake za kupigama(acrobatic fighting style) na kwa kitumia dhana mbalimbali katika kupigana,ambapo matukio mengi ya kupigana huwa anafanya mwenyewe. Jackie Chan amefuzu katika mafunzo ya kung fu & wing chun,ameanza kuigiza/kucheza filamu toka mwaka 1960,ambapo mpaka sasa kacheza filamu 150. Forbes magazine,yamekadiria utajili wa Jackie Chan kuwa ni $350 million.. Nyota ya Jackie Chan, kwenye Hollywood Walk of Fame.. Movies za Jackie Chan ni hizi;-Hand of Death;(1976)....Snake in the Eagle's Shadow;(1978)....The Big Brawl;(1980)....The Protector;(1985).... The young Master;(1980)....Dragon Lord;(1982)....Project A;(1985)....Police story;(1985)....Armour of God;(1987)... Police story 2;(198...

WAJUE WATU MAARUFU KATIKA ULIMWENGU WA FILAMU...Leo tunaye VIN DIESEL;

Mark Sinclair Vicent ndio jina halisi Vin Diesel,alizaliwa 18,Julai1967..New york city Ana mtoto wa kike anaitwa Pauline Movies alizoigiza Diesel ni *Awakenings:-1990 **Multifacial:-1994 **strays:-1997 **saving private Ryan:-1998 **The iron giant:-1999- kaweka sauti **Boiler room:-2000 **The Fast and the Furios:-2001 **xXx:-2002 **Dark fury:-2004 **The pacifer:-2005 **Find me guilty:-2006 **Fast five:-2011 **Fast & Furious 6:-2013 **Riddick:-2013 **Fast & Furious 7:-2015 **Last witch hunter -2015; ....Movie zinazo tarajiwa kutoka ni Fast & Furious 8 ambayo itatoka April 14,2017 na xXx nayo itatoka 2017 ..Gari anayoipenda ni Dodge charger upo katika fast & furious Tunzo alizopata;- 1-Online film critics society award-(1999)-movie;Saving private Ryan ..2-MTV movie awards-(2002)-movie;The fast and the furious ..3-spike video game award-2004-movie;The chronicles of Riddick ..4-Video software dealer association award-2005-movie;The chronicles of Riddick ..5-Cinemacon...

WAJUE WATU MAARUFU KATIKA ULIMWENGU WA FILAMU..Leo ni zamu ya HRITHIK ROSHAN

Hrithik roshan,amezaliwa 10january,1974.uko Mumbai,Maharashtra,India. Hrithik roshan ni muigiza maarufu na mwenye mafanikio katika industry ya Bollywood,pia amewahi kupata tunzo 6 za Filmfare awards,Roshan ametajwa na media mbalimbali za India kuwa ndio muigizaji mwenye mvuto zaidi Baada ya kutoa filamu/movies nyingi ambazo hazikuvuma sana,Roshan aliamua kucheza movie ya science fiction,aliyoipa jina la Koi-Mil Gaya;-(2003) Na muendelezo wake,alitoa series iliyoipa jina la Krrish;-(2006) Nje ya kazi ya kuigiza,Roshan pia ni stage performer na playback singer,pia ameendorse bidhaa mbalimbali ,ikiwa ni pamoja na kuhost reality show inayoitwa Just dance, na pia amelaunch nguo zake/brand yake Hrithik roshan, amesoma shule ya Bombay scoottish,na baadaye kujiunga na chuo kilichoitwa Sydenham college,ambako alipata bachelor degree in commerce Roshan ana vidole sita,katika mkono wake wa kulia,ingawa mara nyingi kwenye movie nyingi zake huwa haonyeshi,ila vimeonekana katika movie ya Krris...