Taylor Alison Swift,amezaliwa December 13,1989. Uko Reading,pennsylvania,U.S
Swift ni mwimbaji,mtunzi wa nyimbo & mwigizaji.pia anajulikana kwa utunzi wa nyimbo zenye masimulizi
Swift ni mmojawapo wa best-selling artist wa mda wote,Ameuza zaidi ya Album million ,pamoja na album million 27.1 alizoziuza US na zingine million 130 kwenye mitandao ya kudownload
Album zake ni Rhapsod originals;-(2007)...,iTunes live from soho;-(2008)...,Taylor swify;-(2006)...,Fearless;-(2006)...,speak now;-(2010)...,red;-(2012)...,1989;-(2014)
Concert tours za Taylor swift ni hizi..Fearless Tour;-(2009-10)..Speak Now world tour;-(2011-12)..the red tour;-(2013-14)..The 1989 world tour;-(2015)
Tunzo alizowahi kupata Taylor swift ni tunzo 7 za grammy awards..,tunzo 1 Emmy award..,tunzo 22 za Billboard Music awards..,tunzo 11 za country music association awards..,tunzo 8 za Academy of country Music awards na Tunzo 1 za Brit Award
Hrithik roshan,amezaliwa 10january,1974.uko Mumbai,Maharashtra,India. Hrithik roshan ni muigiza maarufu na mwenye mafanikio katika industry ya Bollywood,pia amewahi kupata tunzo 6 za Filmfare awards,Roshan ametajwa na media mbalimbali za India kuwa ndio muigizaji mwenye mvuto zaidi Baada ya kutoa filamu/movies nyingi ambazo hazikuvuma sana,Roshan aliamua kucheza movie ya science fiction,aliyoipa jina la Koi-Mil Gaya;-(2003) Na muendelezo wake,alitoa series iliyoipa jina la Krrish;-(2006) Nje ya kazi ya kuigiza,Roshan pia ni stage performer na playback singer,pia ameendorse bidhaa mbalimbali ,ikiwa ni pamoja na kuhost reality show inayoitwa Just dance, na pia amelaunch nguo zake/brand yake Hrithik roshan, amesoma shule ya Bombay scoottish,na baadaye kujiunga na chuo kilichoitwa Sydenham college,ambako alipata bachelor degree in commerce Roshan ana vidole sita,katika mkono wake wa kulia,ingawa mara nyingi kwenye movie nyingi zake huwa haonyeshi,ila vimeonekana katika movie ya Krris...
Maoni
Chapisha Maoni