Ruka hadi kwenye maudhui makuu

WAJUE WATU MAARUFU KATIKA TASNIA YA MUZIKI..Leo ni NICKI MINAJ

Onika Tanya Maraj ndio jina halisi la Nicki Minaj ,amezaliwa December8,1982 uko Saint James,Trinidad and Tobago
Kazi za Nicki Minaj ni rapper,singer na songwriter.. Minaj alipata public attention baada ya kutoa mixtapes tatu (3) katikati ya mwaka 2007-2009
Nicki Minaj ni rapper wa kwanza wa kike kuwa included kwenye MTv Annual Hottest MC list..editor Brent staples kutoka New York Times alisema kuwa Minaj ndio "The most influential female rapper of all time"
Style yake ya kurapp ya Nicki ni tofauti kwasababu anatumia altet egos,accents na fast flow..Nick Minaj anajulikana kwa costumes,cosmetics na wig anazopenda kuvaa
Nicki Minaj aliwahi kuwataja wasanii wanaomuinfluence kuwa ni Madonna,Beyonce,Marilyn monroe,Grace Jones,Smokey Robinson,Lauryn Hill,Lil wayne,Jadakies,Natasha Bedingfield,Lil wayne,Jadakies,Natasha Bedingfield,Lil kim,Missy Elliott and Cyndi Lauper
Albums za Nicki Minaj ni Pink Friday;-(2010)..Pink Friday;Roman Reloaded;-(2012)..The pink print;-(2014)
Nicki Minaj ameshinda tunzo sita za American Music Awards,tunzo kumi za BET Awards,tunzo tatu za MTV Video music awards na tunzo nne za Billboard Music Awards
Mnamo mwaka 2015; kwenye BET Awards,Minaj alishinda tunzo sita za Best female Hip-Hop artist,na kuwa rapper wa kwanza wa kike kushinda tunzo nyingi katika hiyo category
Nicki Minaj alianza kudate na Meek Mill mwanzoni mwa mwaka 2015..

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

WAJUE WATU MAARUFU KATIKA ULIMWENGU WA FILAMU..Leo ni zamu ya HRITHIK ROSHAN

Hrithik roshan,amezaliwa 10january,1974.uko Mumbai,Maharashtra,India. Hrithik roshan ni muigiza maarufu na mwenye mafanikio katika industry ya Bollywood,pia amewahi kupata tunzo 6 za Filmfare awards,Roshan ametajwa na media mbalimbali za India kuwa ndio muigizaji mwenye mvuto zaidi Baada ya kutoa filamu/movies nyingi ambazo hazikuvuma sana,Roshan aliamua kucheza movie ya science fiction,aliyoipa jina la Koi-Mil Gaya;-(2003) Na muendelezo wake,alitoa series iliyoipa jina la Krrish;-(2006) Nje ya kazi ya kuigiza,Roshan pia ni stage performer na playback singer,pia ameendorse bidhaa mbalimbali ,ikiwa ni pamoja na kuhost reality show inayoitwa Just dance, na pia amelaunch nguo zake/brand yake Hrithik roshan, amesoma shule ya Bombay scoottish,na baadaye kujiunga na chuo kilichoitwa Sydenham college,ambako alipata bachelor degree in commerce Roshan ana vidole sita,katika mkono wake wa kulia,ingawa mara nyingi kwenye movie nyingi zake huwa haonyeshi,ila vimeonekana katika movie ya Krris...

WAJUE WATU MAARUFU KATIKA ULIMWENGU WA FILAMU Leo ni... EMMA STONE.

  Emily Jean Stone, amezaliwa November 6,1988 Scottsdale, Arizona, U.S  Emma  Stone, ni mojawapo ya waigizaji wa kike waliolipwa hela nyingi 2015    Amewahi kuorodheshwa na Forbes celebrity 100, mwaka 2013 na mara nyingi na media mbalimbali kama Talented actress of her generation.  Filamu zenye mafanikio alizoigiza Emma Stone ni; _Super bad (2007)... _Zombieland (2009)... _Easy A (2010)... _Crazy stupid, Love (2011)... _The help (2011)... _The Amazing Spider-Man (2012) _The Amazing SpiderMan2(2014) _Birdman (2014)... _La La Land (2016)...   Tunzo za Emma stone, amewahi shinda tunzo mbalimbali, zikiwemo; Academy Award, BAFTA Award, Golden ...

WAJUE WATU MAARUFU KATIKA ULIMWENGU WA FILAMU...Leo ni SALMAN KHAN.

Abdul Rashid Salim Salman Khan,amezaliwa December 27,1965..uko Indore,Madhya pradesh,India. Salman Khan ni actor,film producer,Television, personality, model, philanthropist & singer Films au movies alizoigiza Salman Khan ni:- *Maine Pyar Kiya;(1989).... *Hum Aapke Hain Koun;(1994).... *Andaz Apna Apna;(1994).... *Karan Arjun;(1995).... *Khamoshi:The Musical;(1996).... *Hum Saath-Saath Hain;(1999).... *Hum Dil De chuke sanam;(1999).... *Chori Chori Chupke Chupke;(2001).... *Tere Naam;(2003).... *Wanted;(2009).... *Dabangg;(2010).... *Ready;(2011).... *Bodyguard; (2011) *Ek Tha Tiger;(2012).... *Dabangg 2;(2012).... *Kick;(2014).... *Bajrangi Bhaijaan;(2015).... *Prem Ratan Dhan Payo;(2015).. September 2015,magazeti mbalimbali ya uko India yalimtaja Salman Khan,kama muigiza mwenye mvuto zaidi Filamu tisa 9,kati ya filamu alizoigiza Salman Khan zimemuingizia kiasi cha USD 15 million, pia amekuwa muigizaji pekee India kuingiza kiasi cha USD 29million,kupitia filamu zake,kwa mchĂ n...