Ruka hadi kwenye maudhui makuu

WAJUE WATU MAARUFU DUNIANI KATIKA TASINIA YA MUZIKI..Leo ni KENDRICK LAMAR.

Kendrick Lamar Duckworth, amezaliwa June17,1987 Compton,california,US
Kazi za Kendrick Lamar ni; songwriter & rapper..pia katika mwaka 2013, MTV walitaja kuwa lamar ni NO 1,Hottest male rapper katika muziki,kwenye ripoti yao ya mwaka
Kendrick aliwata Tupac Shakur,The Notorious BIG,Jay Z,Nas na Eminem kuwa ndio top 5 ya marapper anaowakubali.. Pia kendrick amekuwa akivitiwa sana na hayati rapper Tupac Shakur jinsi alikuwa ikifanya mziki hata maisha yake binafsi
Kendrick Lamar kazi zake nyingi zimekuwa na ujumbe anaotaka kufikisha kwa jamii, kama album yake ya To pimp a Butterfly, ameiunda kwa ustadi mkubwa kwa kutumia styles mbalimbali za funk,free jazz,soul na spoken word poetry
Albums za Kendrick Lamar ni;.. Section80;-(2011)...good kid,m.A.Ad city;-(2012)...To pimp a Butterfly;-(2015)
March4,2016 Kendrick alitoa album iitwayo "Untittled unmastered"
To pimp a butterfly ni album kubwa aliyoambata na videos za King kunta,Alright & these walls
Kendrick lamar ameshinda tunzo saba za Grammy awards
Kendrick amevunja record ya Eminem na kuwa wa pili nyuma ya Micheal Jackson,kuwa msanii mwenye nominations nyingi katika usiku mmoja wa utoaji tunzo

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

WAJUE WATU MAARUFU KATIKA ULIMWENGU WA FILAMU..Leo ni JACKIE CHAN.

Chan kong-sang ndio jina halisi la Jackie Chan ,amezaliwa April 7,1954 uko Victoria Peak,British Hong Kong. Kazi za Jackie Chan ni Actor,martial artist,director,producer,screenwriter,action,Choreographer, singer,stunt director, & stunt performer. Jackie Chan anajulika sana kwa staili zake za kupigama(acrobatic fighting style) na kwa kitumia dhana mbalimbali katika kupigana,ambapo matukio mengi ya kupigana huwa anafanya mwenyewe. Jackie Chan amefuzu katika mafunzo ya kung fu & wing chun,ameanza kuigiza/kucheza filamu toka mwaka 1960,ambapo mpaka sasa kacheza filamu 150. Forbes magazine,yamekadiria utajili wa Jackie Chan kuwa ni $350 million.. Nyota ya Jackie Chan, kwenye Hollywood Walk of Fame.. Movies za Jackie Chan ni hizi;-Hand of Death;(1976)....Snake in the Eagle's Shadow;(1978)....The Big Brawl;(1980)....The Protector;(1985).... The young Master;(1980)....Dragon Lord;(1982)....Project A;(1985)....Police story;(1985)....Armour of God;(1987)... Police story 2;(198...

WAJUE WATU MAARUFU KATIKA ULIMWENGU WA FILAMU...Leo tunaye VIN DIESEL;

Mark Sinclair Vicent ndio jina halisi Vin Diesel,alizaliwa 18,Julai1967..New york city Ana mtoto wa kike anaitwa Pauline Movies alizoigiza Diesel ni *Awakenings:-1990 **Multifacial:-1994 **strays:-1997 **saving private Ryan:-1998 **The iron giant:-1999- kaweka sauti **Boiler room:-2000 **The Fast and the Furios:-2001 **xXx:-2002 **Dark fury:-2004 **The pacifer:-2005 **Find me guilty:-2006 **Fast five:-2011 **Fast & Furious 6:-2013 **Riddick:-2013 **Fast & Furious 7:-2015 **Last witch hunter -2015; ....Movie zinazo tarajiwa kutoka ni Fast & Furious 8 ambayo itatoka April 14,2017 na xXx nayo itatoka 2017 ..Gari anayoipenda ni Dodge charger upo katika fast & furious Tunzo alizopata;- 1-Online film critics society award-(1999)-movie;Saving private Ryan ..2-MTV movie awards-(2002)-movie;The fast and the furious ..3-spike video game award-2004-movie;The chronicles of Riddick ..4-Video software dealer association award-2005-movie;The chronicles of Riddick ..5-Cinemacon...

WAJUE WATU MAARUFU KATIKA ULIMWENGU WA FILAMU..Leo ni zamu ya HRITHIK ROSHAN

Hrithik roshan,amezaliwa 10january,1974.uko Mumbai,Maharashtra,India. Hrithik roshan ni muigiza maarufu na mwenye mafanikio katika industry ya Bollywood,pia amewahi kupata tunzo 6 za Filmfare awards,Roshan ametajwa na media mbalimbali za India kuwa ndio muigizaji mwenye mvuto zaidi Baada ya kutoa filamu/movies nyingi ambazo hazikuvuma sana,Roshan aliamua kucheza movie ya science fiction,aliyoipa jina la Koi-Mil Gaya;-(2003) Na muendelezo wake,alitoa series iliyoipa jina la Krrish;-(2006) Nje ya kazi ya kuigiza,Roshan pia ni stage performer na playback singer,pia ameendorse bidhaa mbalimbali ,ikiwa ni pamoja na kuhost reality show inayoitwa Just dance, na pia amelaunch nguo zake/brand yake Hrithik roshan, amesoma shule ya Bombay scoottish,na baadaye kujiunga na chuo kilichoitwa Sydenham college,ambako alipata bachelor degree in commerce Roshan ana vidole sita,katika mkono wake wa kulia,ingawa mara nyingi kwenye movie nyingi zake huwa haonyeshi,ila vimeonekana katika movie ya Krris...